MAONESHO YA BIDHAA ZA VIWANDA

Start time November 03, 2022
Finished Time November 09, 2022
Content

Chama Cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) inapenda kuwatangazia wanawake wote wajasiriamali kutoka Mikoa yote kujiandikisha kwa ajili ya kushiriki maonesho ya 7 ya Bidhaa za Viwanda

Mahali:Viwanja vya Maonesho ya Mwalimu Nyerere(Sabasaba)

Tarehe 03 hadi 09 Desemba, 2022

Gharama za ushiriki Kupitia TWCC

1. Kibanda Wanne – Bidhaa za Chakula, Vipodozi, Sabuni- 50,000 Kila mmoja
2. Kibanda Watatu – 70,000 Kila Mmoja
3. Bidhaa za Nguo Kibanda watatu – 70,000 kila mmoja
4. Nusu kibanda – 200,000
5. Kibanda kizima – 400,000

Gharama Zitahusisha;
1. Meza
2. Kiti🪑
3. Mapambo
4. Ulinzi
5. Umeme,

 

Lipia Kupitia : CRDB Bank
Akaunti: 01J1029021100
Jina: Tanzania Women Chamber of Commerce

Au MPESA- 0757823982
Jina: Tanzania Women Chamber of Commerce

Mwisho wa kulipia: 30 Novemba, 2022.

Bidhaa zinazoruhusiwa: Bidhaa kutoka sekta zote zinazozalishwa nchini, huduma, pamoja na teknolojia ndogo ndogo za uongezaji thamani.

Kwa Mawasiliano zaidi ; tupigie kupitia namba:0757823982 au 0677070408